..NEWS & EVENTS

Wazazi na Walezi waaswa kuhimiza watoto kusoma Quran ili kujenga kizazi kilicho bora na kuongeza ubunifu katika elimu dunia - 05 Septemba, 2009

Mwenyekiti wa WAMA Mheshimiwa Mama Salma Kikwete amewaasa wazazi, walezi na wanafamilia kuhimiza watoto wao kusoma Quran na kufuata maadili ya kiislam ili kujenga kizazi kilicho bora na kuongeza ubunifu katika masomo ya elimu.

"Elimu ni amri ya kwanza aliyopewa mwanadamu kwa kuambiwa Iqraa yaani soma! Hivyo ni wajibu wetu sisi wazazi na walezi kuhakikisha watoto wetu wanasoma Quran ambayo pia humjengea mtoto uwezo kiakili na kumsaidia katika masomo ya elimu dunia." Alisema Mama Kikwete.

Mama Kikwete alitoa nasaha hizo kwenye mashindano ya Quarani Tukufu iliyoandaliwa na jumuiya ya Wanamwake wa Kiislam Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es salaam tarehe 05 Septemba, 2009.

Kwenye mashindano hayo waalimu walioandaa wanafunzi walioshinda walipata laki moja (100,000/=) na wasomaji kumi bora walipata laki moja (100,000/=) kila mmoja. Pia wanafunzi pamoja na mayatima walifuturishawa siku hiyo.

Site Search


More News
Tani 372.4 za chakula Bagamoyo kukabiliana na Njaa
Wanawake Morogoro watakiwa kuwa mstari wa mbele ktk shughuli za maendeleo
Serikali imetumia Ml 105 kujenga shule ya sekondari ya Kilakala
Wanafunzi 287 wapata ujauzito Kwa kipindi cha miezi Tisa
Wanaume watakiwa kushiriki katika kupunguza vifo vya mama wajawazito
Wananchi Bagamoyo watakiwa kuacha tabia ya kuchoma Shule
  Wazazi waaswa kuhimiza watoto kusoma Quran ili kujenga kizazi kilicho bora na kuongeza ubunifu katika elimu dunia
Mwenyekiti WAMA azindua Mwongozo wa Makanisa wa Kupambana na Unyanyapaa na Ubaguzi Dhihi ya Watu Wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi
WAMA yachangia 1.5 ml. Kusaidia Timu ya Viziwi ya Mkoa wa Pwani kushiriki Michezo ya Kimataifa
Mwenyekiti WAMA aomba mashirika na watu binafsi kusaidia wanaoishi ktk mazingira magumu
Management Science for Health (MSH) facilitates WAMA Monitoring and Evaluation System Training
WAMA the 2nd in NGO Sector in Nane Nane Exhibition in Dodoma
WAMA and USAID Confirm Partnership for Adolescent Early Pregnancy Prevention
Hon. Jackie Winters (State Senator – Oregon ) and Dr. James Luce visit WAMA to Discuss Collaboration
Wanawake 80,000 wanaweza kupoteza maisha na milioni mbili na nusu kupata ulemavu ikiwa juhudi za dhati hazitafanyika
Mama Salma Kikwete Asisitiza Kuundwa Kwa Sekretariati ya Kudumu ya OAFLA
Hon. Salma Kikwete insist men to undergo HIV/AIDS testing- June 27, 2009 in Bagamoyo
Magindu Secondary School got assistance from WAMA Foundation
Hon. Salma Kikwete asks for more people to contribute on ending Child Hunger
Mama Kikwete donates Tz. 2 million to support Choir of St. Kizito of Makuburi Catholic Church
First Lady encourages Islamic Girls to join Science Subjects – Hijab Day Celebration
Mama Kikwete calls for African First Ladies sustainable partnership in Los Angeles California